Michezo
Simba SC yarudi mjini kwa ndege ya kukodi
Kikosi cha klabu ya soka ya Simba kimetua Jijini Dar es Salaam hii leo kwa njia ya ndege tayari kwa maandalizi yao ya mwisho dhidi Yanga hapo kesho Octoba 28.
Kikosi cha timu ya Simba SC kikiwa ndani ya ndege kikitoka Zanzibar
Katika kujiandaa na mchezo huo wa raundi ya nane wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba SC iliweka kambi mjini Zanzibar kabla ya kuwakabili Yanga SC.
Simba imeweka kambi katika Hoteli ya Serena iliyopo Posta Jijini Dar es salaam.