Burudani

Ujumbe wa Alikiba baada ya kukutana na Yvonne Chaka Chaka SA

Hitmaker wa wimbo wa Aje, Alikiba amepata bahati ya kukutana na nguli wa muziki nchini Afrika Kusini, Mama Yvonne Chaka Chaka wiki hii wakati alipokuwa mjini Johannesburg kwa ajili ya kutumbuiza kwenye utoaji wa tuzo za Mkhaya Migrants Awards.

Haikuwa kazi ngumu kwa Kiba kuonyesha hisia zake kupitia mtandao wa Instagram za kufurahishwa kukutana na muimbaji huyo wa nyimbo kibao zilizowahi kufanya vizuri duniani ikiwemo ‘Mamaland’ ambaye ilikuwa ndoto yake ya siku nyingi.

Kupitia mtandao huo, Ali ameandika:

It was a great honor and pleasure to meet Mama Yvonne Chaka Chaka who I have loved and admired all my life . Thank you for hosting us and sharing your memories, advices and guidance. I am truly grateful and looking forward to our project #KingKiba

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents