Burudani

Video: Feza Kessy akirekodi muziki Afrika Kusini na kukutana na Oneal studio

Kabla ya kurudi Tanzania, Feza Kessy alipitia kwenye miongoni mwa studio za Afrika Kusini na kurekodi wimbo.

BRkK08wCAAEfqSz

Katika video ya BBA ya maisha yake baada ya The Chase, Feza anasema shindano hilo limempa fursa ya kufanya muziki ambao amekuwa akiupenda tangu siku nyingi. Akiwa anarekodi, mchumba wake Oneal aliingia na kumfanyia surprise ya nguvu.

Bonyeza hapa kuona video hiyo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents