Rais wa @yangasc Injinia Hersi Said @caamil_88 amewapa Ng’ombe mmoja Wazee mashabiki wa timu hiyo.
Ng’ombe huyo amesafirishwa kutoka Dar akiwa ni miongoni mwa wale waliotolewa na Chama Cha Mapinduzi kupitia kwa Mhe. Paul Makonda.
@yangasc wamezindua hamasa kuelekea mchezo wao wa kimataifa dhidi ya Al Ahly Disemba 2,2023.