Burudani
Video: Kutana na watangazaji wa kipindi cha The Base – ITV
The Base ni kipindi cha burudani kilichojipatia umaarufu mkubwa kwenye kituo cha runinga cha ITV. Kipindi hicho sasa kimetimiza mwaka mmoja tangu kianzishwe. Nimepiga story na watangazaji wa kipindi hicho, Aloy Sizya, Emmy na DJ wao, Seven kuhusu mafanikio ya kipindi hicho. Fuatilia interview hiyo chini.