Habari
Video: Tazama mke huyu mrembo alivyofumaniwa akila uroda na mchungaji wake!!
Wakazi wa eneo la Rosters jijini Nairobi, Kenya walishuhudia kioja si haba wakati mchungaji wa kanisa moja liliko mtaani pumwani alipofumaniwa na mke wa wenyewe kwenye tendo la ndoa. Hata hivyo, mchungaji huyo alijitetea kuwa alikuwa kwenye pilkapilka za kutoa huduma. Jionee.