Bongo Movie
Big Boss atoka na Black on Black kwa Mwaki the Don
Studio ya Kiumbe Video Production imepata Director mpya ambaye ni Mwaki the Don, ambaye anauzoefu kwa muda mrefu kwa kutengeneza filamu na vipindi mbalimbali kama Millosis. Mwaki anasema kwa sasa kampuni inataraji kufanya kazi ya kutengeneza filamu.
Anasema baada ya hapo wanatarajia kufanya video za wasanii wengine ambao, Audio zao zinafanyiwa kazi, kwenye studio ya Kiumbe record.
Video mpya ya msanii Big Bos -Black on Black
{hwdvs-player}id=1643|width=560|height=340{/hwdvs-player}