Burudani

Jay Z atembelea makao makuu ya Facebook California, Marekani

Ijumaa (July 26) rapper na CEO wa Roc Nation Shawn Carter a.k.a Jay Z alipata nafasi ya kutembelea makao makuu ya mtandao maarufu wa kijamii Facebook yaliyoko California, Marekani.

Jay Z and Mark

Jay Z alipita katika makao makuu ya Facebook na kupata nafasi ya kuonana na kuzungumza kidogo na CEO wa kampuni hiyo Mark Zuckerberg pamoja na wafanyakazi wa Facebook kabla ya kuelekea San Fransico katika tour yake na Justin Timberlake, kwa mujibu wa Global Grind.

Hii ilikuwa ni surprise kwa wafanyakazi wa Facebook ambao walipata nafasi ya kumuona live baba Blue Ivy na hip hop mogul Jigga.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents