Burudani
Lamata na Ubunifu huu mkubwa Filamu hadi Redioni kama zamani
Katika kukuza Sekta ya filamu Nchini Mkurugenzi wa Lamata Village @lamataleah ameshiriki na wasanii pamoja na mastaa mbalimbali kuzindua Tamthilia yao mpya iliyopewa jina la Ezra ambayo itaruka Redioni
Tazama alivyowatambulisha wasanii walioshiriki akiwemo @hemedyphd pamoja na wasanii wengine wakali
Video Nzima ipo katika Akaunti yetu ya youtube ya Bongo5
Written and edited by @abbrah255 and @el_mando_tz