Michezo
Maulid Kitenge na Eddo Kumwembe wamchambua kocha mpya wa Taifa Stars, Emmanuel Amunike (+video)
Watangazaji na wachambuzi wa soka maarufu zaidi Tanzania, Eddo Kumwembe na Maulid Kitenge wamemchambua kocha mpya wa Taifa Stars, Emmanuel Amunike kutoka Nigeria.
Pa1