Burudani
Picha: Chris Brown na Tyga waja na muonekano wa Kriss Kross
Chris Brown na Tyga wakiwa mbioni kutoa album yao ya mpya, Fan Of A Fan 2, wameamua kubadilisha muonekano wao na kuwa kama wa Chris “Mac Daddy” Kelly na Chris “Daddy Mac” Smith waliojulikana zaidi kama Kriss Kross.
Style ya mwanzoni wakati anatoka Chris Brown alikuwa na nywele za chini yaani Lowcut.
Style ya kuweka rangi ya dhahabu au blonde style
Pia Chris alikuwa na muonekano wa style ya kuweka rangi ya dhahabu au blonde.
Chris Brown na style yake mpya ambayo inaonekana kufanana na rapper wa kundi la kriss kross ‘Esque aesthetic’