Uncategorized

Video: Harmonize ni msanii namba moja kwa sasa Tanzania – Q Chief

Msanii wa muziki Q Chief ambaye anafanya kazi kwa ukaribu na muimbaji, Harmonize amefunguka kuzungumzia namna muimbaji huyo alivyoachana na label iliyomtengeneza WCB ambayo inamilikiwa na rais wa label hiyo, Diamond Platnumz.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents