Uncategorized
Video: Harmonize ni msanii namba moja kwa sasa Tanzania – Q Chief
Msanii wa muziki Q Chief ambaye anafanya kazi kwa ukaribu na muimbaji, Harmonize amefunguka kuzungumzia namna muimbaji huyo alivyoachana na label iliyomtengeneza WCB ambayo inamilikiwa na rais wa label hiyo, Diamond Platnumz.