BurudaniUncategorized

Wolper ataja vitu anavyovikumbuka kwa Alikiba

Msanii wa filamu Bongo Jackline Wolper amefunguka mengi kuhusu Alikiba ambaye alikuwa mpenzi wake.


Jackline Wolper

Wolper amedai kuwa anakumbuka mambo mengi kutoka kwa mpenzi wake huyo, zaidi akikumbuka upole wake pamoja na unyenyekevu.


Ali Kiba

“Mengi nakumbuka, kikubwa ni upole wake pamoja na unyenyekevu. Ni tofauti na wanaume wengine ambao nimewahi kukutana nao,” muigizaji huyo ameliambia gazeti la Amani.

Kwa sasa Wolper ameonekana kuwa mwenyewe japo hajaweka wazi tangu alipotoa taarifa za kuachana na Harmonize ambaye amekuwa na mahusiano naye ya kimapenzi tangu mwaka jana alipoachana na Mkongoman wake.

Na Laila Sued

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents