Muziki
New Audio: Dudu Baya – Nimeshasema
Msanii wa muziki wa Hip Hop, Dudu Baya amefungua mwaka 2018 kwa kuachia wimbo mpya uitwao, Nimeshasema. Rapa huyo amesema mwaka huu atakuwa na kazi nyingi zaidi tofauti na miaka iliyopita.
Msanii wa muziki wa Hip Hop, Dudu Baya amefungua mwaka 2018 kwa kuachia wimbo mpya uitwao, Nimeshasema. Rapa huyo amesema mwaka huu atakuwa na kazi nyingi zaidi tofauti na miaka iliyopita.