Habari
Naibu Waziri wa ardhi baada ya kufiwa na mumewe, Spika Ndugai ampa pole Bungeni (+video)
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula alifiwa na mumewe Juni 13, 2018 katika Hospitali ya Bugando jijini Mwanza. Leo Spika wa Bunge Job Ndugai wakati Mh. Angelina akitaka kujibu swali la Mbunge amempa pole kufuatia msiba huo.