Technology

iPhone mpya itaitwa iPhone 5S, Apple watatoa pia yenye gharama nafuu, iPhone 5C

Website ya Japan imedai kuwa toleo jipya baada ya iPhone 5 litaitwa iPhone 5S, na kwamba Apple wataingiza sokoni iPhone yenye bei nafuu, e iPhone 5C.

iphone5-intro

Website hiyo iitwayo Macotakara imesema kuwa vyanzo vyake vimethibitisha majina ya simu hizo. iPhone 5C itakuja na rangi mbalimbali na sio nyeusi ama nyeupe tu.

Apple inatarajiwa kuzindua simu mpya za iPhone September 10.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents