Burudani
Alikiba na mke wake watoa msaada kwa watoto yatima Kigamboni (Picha)
Msanii wa muziki Alikiba akiambatana na mke wake pamoja na watu wake wa karibu siku ya jana walitembelea kituo cha watoto yatima cha Amani Orphanage Foundation kilichopo Kigamboni jijini Dar es salaam na kutoa msaada wa vitu mbalimbali.
Alikiba akiwa na mke wake pamoja na baadhi ya watoto wao.
Muimbaji huyo amefanya tukio hilo ikiwa ni siku chache toka arejee nchini Tanzania akitokea Toronto nchini Marekani kwenye tamasha la Africa All Star Music Fest.
“Education,Food,Shelter, And ,Love That’s All They Need From You ❤️ me and my lovely Wife 🤪 We Do #AmaniOrphanageFoundationKigamboni #KingKiba,” aliandika Alikiba kupitia instagram yake. Angalia picha zaidi.
Vizur
God bless you and your family
Inapendeza
Asanteh king
good
God bless you more brother
Nice king
Kumbe umeelimika
Ubarikiwe sana
Mashallah jazaka llahu khair
Zawadi zenyewe hazionekani
King usife moyo… Saidia wasiojiweza Kama… Mungu yu pamoja na wee
Hivi kwann mnapotoa misaada mnajitangaza ili watu wawasifie?
HIYO UMEANGALIA IN NEGATIVE BUT UKIANGALIA KWA UPANDE WA POSITIVE HUONESHA UKUMBUSHO KWA WATU WENGINE WAWEZE KUTOA