Michezo
Haji Manara aushukuru uongozi wa Simba kwa kuendelea kumuamini na kumpa nafasi nyingine
Haji Manara aushukuru uongozi wa Simba kwa kuendelea kumuamini na kumpa nafasi nyingine
Afisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara ameishukuru klabu yake ya Simba kwa kuendelea kumuamini na kumpa nafasi nyingine ya kuendelea kuwa msemaji wa klabu hiyo.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Manara ameandika haya:-
https://www.instagram.com/p/B2vvASeBDf5/
By Ally Juma.