Burudani

Hii ndio kamera mpya anayoitumia Nisher, amenunua shilingi milioni 30

Mtayarishaji wa video za muziki nchini, Nisher baada ya ukimya wa muda mrefu bila kuachia kazi anajipanga kuja kuvingene huku akiwa na vifaa vipya na vya gharama kubwa.

nisher-ndani-ya-mtambo-mpya

Mshindi huyo wa tuzo ya Muongozaji wa Video anayependwa katika Tuzo za watu 2014, ameonyesha kijihimarisha zaidi katika vifaa ili kukabiliana na ushidani uliopo kwenye game.

“Now me to re-introduce Myself My Name is NISHER, DIRECTOR NISHER. Cant wait for you to see what I’m doing with MY ALL NEW $ 15,000 Camera. It’s Crazy!!,” aliandika Nisher instagram.

Nisher ni mmoja kati ya waongozaji wa video nchini ambao walifanya vizuri katika tasnia ya muziki na kufanya mapinduzi.
.
Hii ni moja kati ya project mpya aliyotengenezwa kupitia kamera hiyo
https://youtu.be/a90TX6egR7o

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents