Burudani

Jay Z na Beyonce ni couple iliyoingiza fedha nyingi zaidi

Jay Z na mke wake Beyonce bado wataendelea kuwa mfalme na malkia kwenye muziki kwa muda mrefu.

Beyonce-Jay-Z-NBA-Finals-Game-June-2016

Kwa mujibu wa Forbes, wawili hao ndio couple ya watu maarufu walioingiza fedha nyingi zaidi mwaka jana kwa kuweka benki dola milioni 107.5.

Queen Bey peke yake aliingiza dola milioni 54 na kukamata nafasi ya 54 katika orodha ya mastaa 100 waliongiza fedha nyingi, huku mumewe akiingiza dola milioni 53.5 na kukamata nafasi ya 36.

Mwaka jana Taylor Swift na Calvin Harris walichukua nafasi hiyo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents