Michezo
Man Utd kukutana na West Ham robo fainali EFL Cup
Mechi za robo fainali EFL Cup ratiba imetoka baada ya kumuondoa Guardiola, Mourinho sasa atacheza na Bilic.
Mechi hizi zitachezwa katika wiki inayoanza Tarehe 28,Novemba.
Hii ndo ratiba kamili ya Michuano ya EFL Cup.