Mashabiki wa Simba kutoka @mzalendo_gym wamepewa furaha ya aina yeke kutoka kwa mashabiki ya Yanga kutoka Gym hiyo ikiwa ni siku chache baada ya kuchukua ubingwa wa NBC.
Shamra shamra hizo zimefanyika Jumatatu katika Gym ya Mzalendo Tuangoma Kigamboni Dar Es Salaam ambapo pia mashabiki hao walisema wamefanya tukio hilo ili kuufanya Mchezo wa mpira kuwa wakirafiki.
Written and edited by @yasiningitu