Matokeo ya Mabomu Gongo la Mboto
Baada ya milipuko yaliyoitingisha eneo la Gongo la Mboto na maeneno ya karibu na kusababisha vurugu kubwa na hali tete kwa wananchi, Bongo5 ilitembele eneo hilo na kunasa matukio tofauti.(Pichani:Nyumba ikiwa imeteketea vibaya baada ya kuunguzwa kwa moto la kombora.)
Nyumba nyingine ikiwa kwa moto, huku wananchi wakipita kuendelea na shughuli zao
Kombora likiwa limetua na kuharibu sehemu ya nyumba ya uani, katika eneo ya gongo la Mboto
Kombora likiwa limetua kwenye mchanga
Mojawapo ya paa zilizoharibika baada ya milipuko ya makombora
Kipande cha kombora likiwa limetua ndani ya nyumba ya mkazi wa Gongo la Mboto, huku mkazi wa nyumba hiyo akiwa ametoweka kujisalimisha
Mabaki ya kombora lilionekana uani mwa mkazi mmoja
Wananchi bado wakiwa katika hali ya mshtuko siku baada ya mlipuko wa Mabomu katika kambi ya jeshi Gongo la mboto
Baadhi ya uharibifu wa mali ulioletwa kwa kulipuka kwa mabomu
Kombora likiwa limefukiwa na mchanga. Jeshi la polisi limeahidi kupita katika maeneo yaliyozunguka na kukusanya mabaki ya makombora yaliyobaki
Biashara nyingi zilifungwa na wakazi kuonekana katika hali ya kuchanganyikiwa
Kombora lililowekewa uzio wa usalama na jeshi la polisi
Wakazi wakiangalia nyumba yao ikiwa imebomoka kwa huzuni kubwa
Nyumba iliyoathirika na mabomu yaliyolipuka
Kombora likiwa limetua katika shamba la mchicha Gongo la mboto
Uharibifu wa mali mkubwa umejitokeza
Wananchi wakiangalia kipande cha Kombora lililobaki baada kufuatia milipukoKb
{hwdvideoshare}id=1414|width=400|height=300|tpl=playeronly{/hwdvideoshare}
{hwdvideoshare}id=1415|width=400|height=300|tpl=playeronly{/hwdvideoshare}
{hwdvideoshare}id=1416|width=400|height=300|tpl=playeronly{/hwdvideoshare}
{hwdvideoshare}id=1417|width=400|height=300|tpl=playeronly{/hwdvideoshare}
{hwdvideoshare}id=1418|width=400|height=300|tpl=playeronly{/hwdvideoshare}