Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya bia ya Serengeti, Steve Cannon pamoja na wafanyakazi wa SBNL wakigonganisha chupa kuashiria furaha ya kuzinduliwa bia hiyo mpya.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya bia ya Serengeti, Steve Cannon pamoja na wafanyakazi wa SBNL wakigonganisha chupa kuashiria furaha ya kuzinduliwa bia hiyo mpya.
Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries imezindua rasmi kinywaji kipya cha Tusker Lite usiku wa kuamkia jana katika usiku wa Marketers Night Jijini Dar-es-Salaam.
Kama tulivyoweka utabiri wetu jana kuhusu kinywaji hicho, angalia picha za namna kinywaji hicho kilivyozinduliwa rasmi.
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) wakifuatilia matukio mbalimbali wakati bia mpya ya Tusker Lite ilipozinduliwa sanjari na usiku maalum wa maafisa masoko jijini Dar es Salaam jana
Burudani ilikuwepo kama kawaida.
hapa sasa ni Kushow love kwa pamoja.
Hii ilikuwa burudani tosha maana jamaa walionesha vipaji vyao si mchezo.
Ilikuwa raha mwanzo mwisho.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya bia ya Serengeti, Steve Cannon pamoja na wafanyakazi wa SBNL wakigonganisha chupa kuashiria furaha ya kuzinduliwa bia hiyo mpya.
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Epraim Mafuru (mwenye suti kushoto) akimkabidhi zawadi ya Tusker Lite, Meneja bidhaa wa Push Mobile, Gonzoga Rugambwa baada ya kuibuka mshindi.
vimwana hawa walipamba vilivyo uzinduzi huo.
Viongozi mbalimbali wa Kampuni ya Bia ya Serengeti wakiwa ukumbini hapo.
wadau wa EATV nao walikamatia zawadi zao baada ya mwakilishi wa meza yao kufanya vyema katika kulisakata dance.
Wafanyakazi wa kampuni ya bia SBL wakimpongeza mshindi wa shindano la kucheza kwa zawadi ya glass maalum ya Tusker Lite.
aadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) wakifuatilia matukio mbalimbali wakati bia mpya ya Tusker Lite ilipozinduliwa sanjari na usiku maalum wa maafisa masoko jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya bia ya Serengeti, Steve Cannon pamoja na wafanyakazi wa SBNL wakigonganisha chupa kuashiria furaha ya kuzinduliwa bia hiyo mpya.