Diamond Platnumz
Picha: Diamond Platnumz afanya kweli Ubelgiji, show yafunga
Diamond Platnumz ameendelea kuthibitisha kuwa ndiye msanii namba moja Afrika Mashariki kwa sasa baada ya show yake ya Ubelgiji kuvuta watu kibao na kuufanya ukumbi uonekana kama sebule tu.
“Ofcourse we sold da shit Out…!!! Thank you so Much Belgium for de love emoji #MdogoMdogo,” aliandika kwenye Instagram.
Photo: By Maganga One Blogger