Burudani

Picha: ‘Mwanalizombe’ (Studio za muziki za Profesa Jay)

Studio ya muziki inayomilikuwa na Profesa Jay imekamilika na kwa mujibu wa picha alizoweka Facebook, inaonekana jina lake ni ‘Mwanalizombe Studio’.

1378217_10151896306867558_1516010385_n
Profesa Jay akiwa kwenye studio zake

“Picture me rolling….At MWANALIZOMBE STUDIOS,” ameandika rapper huyo ambaye jina lake halisi ni Joseph Haule.
Inasemakana kuwa producer kwenye studio hizi atakuwa Duke Touchez.

547511_10151896301907558_1463758475_n

Unalionaje jina la studio hizo?

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents