Burudani
Picha: Tamasha la ‘Mchizi Wangu’ la EFM lafana Dar
Kituo cha redio cha Efm cha jijini Dar es Salaam kiliadhimisha tamasha kubwa la Mchizi Wangu lililofanyika siku ya wapendanao, Jumapili ya Feb 14.
Rais wa Singeli Suleiman Jabir a.k.a Msaga Sumu akitumbuiza mashabaki waliofika kwenye tamasha la Mchizi Wangu
Tamasha hilo lililofanyika kwenye viwanja Posta Kijitonyama, lilisheheni wasanii kibao wanaotamba kwa muziki wa uswazi, wakiongozwa na Msaga Sumu na Skide mtoto wa mama Shante.
Hizi ni picha zaidi:
Umati wa watu uliosheheni katika tamasha la mchizi wangu
Amsha amsha kutoka kwa baadhi ya mashabiki wakionyesha nyuso za furaha wakati wakipata burudani
Vijimambo vingine vilivyotokea katika tamasha hilo