Habari

Rasmi: Mikel Arteta atangazwa kuwa kocha mpya Arsenal

Arsenal imemteua, Mikel Arteta kuwa kocha wao mpya kwa kandarasi ya muda wa miaka mitatu na na nusu.

Arteta anaondoka Manchester City akiwa kama kocha msaidizi na ambapo kwa sasa anakwenda kuchukua mikoba ya Unai Emery aliyetimuliwa kazi mwezi uliyopita.

Ljungberg ameiyongoza kwa muda Arsenal na kutoka sare mbili, akifungwa michezo miwili na kushinda mara moja.

https://www.instagram.com/p/B6TBKwBp2kI/

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents