Burudani
Ratiba ya mabingwa Ulaya yatoka, Man City kuchuana na Barcelona, Chelsea na PSG
Ratiba ya ligi ya mabingwa barani Ulaya hatua ya mtoano imetolewa ambapo vigogo 16 wa soka watachuana kuwania ubigwa wa bara hilo.
Mabigwa wa ligi ya Uingereza, Manchester City, watakua na kibarua kizito kuwakabili Barcelona nao Chelsea watakipiga na miamba wa soka Ufaransa – Paris St-Germain na Arsenal watakabilina Monaco.
Shakhtar Donetsk na Bayern Munich
Schalke na Real Madrid
Juventus na Borussia Dortmund
Bayer Leverkusen na Atletico Madrid
Basel na FC Porto
Mechi za raundi ya mtoano ya timu 16 bora zitachezwa kwa mfumo wa nyumbani na ugenini kuanzia Februari 17 mwaka 2015 na washindi wa kila kundi wataanza kukipiga nyumbani kabla ya kuelekea ugenini.
Source:BBC