Habari
Tanesco watoa ufafanuzi kuhusu ripoti ya kupandisha bei ya umeme
Novemba 8 mwaka huu vyombo vya habari viliripoti taarifa kuwa shirika la umeme Tanzania(TANESCO) limeomba kuongeza bei ya umeme.
Na sasa Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo, Mhandisi Felchesmi Mramba, ametolea ufafanuzi taarifa hizo. Chini ni maelezo yake:
BY: EMMY MWAIPOPO