Michezo
Video: Bocco na Okwi hati hati kuikabili Al-Masry – Pierre Lechantre
Kocha Mkuu wa klabu ya Simba, Pierre Lechantre amekataa kuzunguzia uwepo wa washambuliaji wake hatari katika mchezo wao wa kesho watakapo ikabili timu ya Al- Masry inayotoka nchini Misri katika mchezo wa kombe la Sgiriko Barani Afrika.
John Bocco na Emmanuel Okwi wamekuwa nje ya uwanja kwa muda sasa baada ya kusumbuliwa na majeraha.