Burudani
Video: Miss Tanzania mwaka 1998 atoa shavu kwa Mama Ntilie
Aliyewahi kuwa Miss Tanzania mwaka 1998, Basilla Mwanukuzi ameanzisha taasisi yake itakayoweza kusaidia mama lishe nchini kote. Mrembo huyo amebainisha kazi ya taasisi hiyo ambayo itafanya kazi ya kutoa elimu kwa wajasiliamali hao ambao wapo katika sehemu rasmi.