Michezo

Wachezaji wa Klabu kubwa wanaitaka Yanga – Eng Hersi

“Ukweli ni kwamba kuna wachezaji kadhaa kutoka Klabu kubwa wanataka kujiunga na Klabu yetu. Ni kwa sababu wanaona uimara wa Uongozi, wadhamini na uwepo wa GSM.

 

Pia mashabiki wetu ni sehemu ya usajili huwezi kuwakwepa mashabiki, wanaweza kukuonyesha mchezaji mzuri kwahiyo kuna wakati unapaswa kusikiliza sauti za mashabiki” Eng. Hersi

 

 

 

 

Imeandikwa na Mbanga B.

CC: Bongo Fm

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents