Michezo
Sweden waikataa VAR
Sweden imekuwa Nchi ya kwanza kukataa matumizi ya VAR kwenye michezo inayosimamiwa na Shirikisho la Soka la Nchi hiyo.
Hii inakuja baada ya mashabiki na timu 32 kugomea matumizi ya teknolojia hiyo ya usaidizi wa waamuzi.
Imeandikwa na Mbanga B.