Bongo Movie
Video/Picha: Mzee Small azikwa kwenye makaburi ya Tabata jijini Dar
Msanii maarufu wa maigizo, Said Ngamba ‘Mzee Small’ aliyofariki juzi usiku (juni 7) akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili amezikwa leo katika makaburi ya Tabata jijini Dar es salaam.
Mwili wa marehemu Small ukishushwa kwenye kaburi
Wasanii ,viongozi pamoja na wadau mbalimbali wa filamu nchini walihudhuria mazishi hayo.Tazama picha na video
Msafara wa kwenda kumzika Mzee Small
Wadau wakiwa wamejitokeza kumzika mzee wao
Wadau wakisoma dua wakati wameubeba mwili wa marehemu
Ndugu wa marehemu akilia kwa uchungu
Mume wa marehemu Rachel Haule wa pili kushoto akiwa na wadau wengine wa filamu
Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Saimon Mwakifamba