Burudani
WCB yatoa ofa kwa wasanii wao kutangaza Wasafi TV (Video)
Wasanii wa label ya WCB wameambiwa kama kuna masanii ana kipaji cha kutangaza basi atapewa nafasi ya kuonyesha kitu anachokifanya. Wasanii hao wamesema hayo Jumatano hii katika kituo kimoja cha redio nchini Kenya na kudai kwamba wao kama wasanii wameona ni bora watoe nafasi kwa vijana wengine na wao waendelee na muziki.