Burudani

Yemi Alade akiishi alichokifanya Michael Jackson, Brazil

Staa wa Nigeria, Yemi Alade ametumia location iliyopo nchni Brazil kwenye mji wa Rio de Jeneiro ya Favela of Dona Marta aliyowahi kuitumia mfalme wa muziki wa pop duniani, marehemu Michael Jackson kwenye video ya wimbo wake wa ‘The Don’t Care About Us.’

yemi-alade-brazil-10-600x400

Yemi yupo nchini humo kwaajili ya mradi wa kampuni ya mafuta ya Shell, uliopewa jina ‘Make The Future’ akiungana na mastaa wengine wakubwa wakiwemo Jennifer Hudson, Pixie Lott, Steve Aoki, Tan Wei Wei na Luan Santana.

yemi-696x661

yemi-alade-brazil-4-600x400

yemi-alade-brazil-5-600x900

yemi-alade-brazil-12-600x400

yemi-alade-brazil-13-600x400

yemi-alade-brazil-1-600x400

yemi-alade-brazil-2-600x400

yemi-alade-brazil-3-600x400

Hata hivyo Michael Jackson alikutana na wakati mgumu kutoka kwa serikali ya Brazil kutokana na kuzuiwa kushoot video yake kwenye eneo hilo kwakuwa kipindi hicho mji wa Rio haukuwa mkubwa na waliamini hautaitangaza nchi yao vizuri.

yemi-alade-brazil-6-600x400

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents