Habari
EPL: Manchester City Premier League Champions!
Baada ya kusubiri miaka 44 na dakika 94 hatimae wametwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza! Walinusurika baada ya QPR kuongoza 2-1 daika ya 90, lakini ndani ya dakika 5 za nyongeza waliweza kusawazisha na kuongeza bao la ushindi, na kutwaa ubingwa.