Burudani
Mfahamu Mtanzania anaetembea na majani mwilini ‘Sijavaa nguo yoyote ndani, haya ndiyo maisha yangu’ (+video)
Dada mmoja aliyejulikana kwa jina la Agnes ameonekana akiwa amevalia vazi la majani katika mwili wake huku akisema kuwa yeye ni mbunifu wa mavazi na kuthibitisha kuwa licha ya kuvaa majani hayo ndani yake hakuna nguo yoyote aliyovaa na hayo ni maisha yake ambayo anaishi.
Kama hajavaa chochote mpeni namba zangu
Huyu ni muongo sana tena akiwa ni mtoto wa kike ni ngumu mno!
tena vigumu muno… Labda Chizi
Sana
Huyu ni chizi…
ahaaah!! Nixon Jasson
Hajakumbana na mbuzi huyo πππππwatamtafuna na yeyeπππ