Burudani

Ngoma ya Lord Eyez aliyomshirikisha Ray C ilirekodiwa miaka 7 iliyopita!

Ngoma mpya itakayotoka hivi karibuni ambayo Lord Eyez amemshirikisha Ray C haimaanishi kuwa mastaa hao waliowahi kuwa wapenzi wamerudisha ukaribu wao.

10979525_788752887873911_1008246728_n

Kwa mujibu wa Ray C, wimbo huo ulirekodiwa miaka 7 iliyopita.

11142306_939353482763766_1152975956_n
Ray C amepost picha hii kwenye Instagram na kuitolea maelezo hapo chini

“Mambo iende kwa wote wanipendao!Naomba tu kuwajulisha kuwa Nimeskia Lord Eyes anakaribia kuutoa wimbo uitwao Matatizo ambao alinishirikisha!Najua wengi wanaweza tafsiri vingine lakini Niwambie tu kwamba Huu wimbo tuliurekodi miaka SABA ILiopita nchini Kenya kipindi tuko pamoja na si kipindi cha hivi karibuni!Nimeona niongee tu maana naona magazeti yashaanza Udaku,” ameandika Ray C kwenye Instagram.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents