Serikali kudhibiti umiliki wa laini za simu, ukitaka ya pili utaomba TCRA
Serikali imesema itaanza kudhibiti umiliki holela wa laini za simu na hivyo chini ya usajili wa laini kwa alama za vidole mtu akitaka kusajili laini zaidi ya mbili itabidi ajaze fomu ya kueleza kwa nini anataka laini ya pili.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, Atashasta Nditiye aliyeeleza kuwa katika udhibiti huo watashirikiana na NIDA kupitia vitambulisho vya Taifa.
Amesema kuwa mtu akitaka kusajili laini ya pili ya simu Kampuni za simu zitamuona na kujua kuwa tayari ana laini ya kwanza, hivyo lazima atajaza fomu maalum kueleza kwa nini anataka laini ya pili.
Aidha, Naibu Waziri amesema kuwa kabla ya mwaka huu kuisha ‘line’ za simu zitaanza kuuzwa kwenye maduka rasmi na mtu anayesajili atachukuliwa alama za vidole na picha yake.
Serikali imesema itaanza kudhibiti umiliki holela wa laini za simu na hivyo chini ya usajili wa laini kwa alama za vidole mtu akitaka kusajili laini zaidi ya mbili itabidi ajaze fomu ya kueleza kwa nini anataka laini ya pili.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, Atashasta Nditiye aliyeeleza kuwa katika udhibiti huo watashirikiana na NIDA kupitia vitambulisho vya Taifa.
Amesema kuwa mtu akitaka kusajili ‘line’ya pili ya simu Kampuni za simu zitamuona na kujua kuwa tayari ana ‘line’ ya kwanza, hivyo lazima atajaza fomu maalum kueleza kwa nini anataka ‘line’ ya pili.
Aidha, Naibu Waziri amesema kuwa kabla ya mwaka huu kuisha ‘line’ za simu zitaanza kuuzwa kwenye maduka rasmi na mtu anayesajili atachukuliwa alama za vidole na picha yake
Duuh
Wana matatizo au
Kwaiyo nikitaka lain ya TTCL ( rudi nyumbani kumenoga! kama kauli mbiu yao inavosema) itabidi niombe tcra,nani atakua anapoteza mda wake huo? Kwa msingi huo ttcl ambao hakuwepo kwenye soko la ushindani mda mrefu wata struggle kupata wateja
Waambie warudishe channel kwanza ndio walete drama zingine!.
wanayumba waseme nchi imewashinda tu ila sio dramatization wanayofnya, pole yao
Taratibuuuuui wanaanza…. Kama uganda
Hahahaha wanayumba
Kuna makampuni yatapata taabu sana mfumo huo ukianza
tena sana
huko ni kuishiwa tu sasa hawana cha kufanya
Hakika yajayo yanafurahisha zaidi!!!!
Hahahahaaaa😁😁
Laundi hii tutanyoooka tu, yajayo yanasikitisha sana..😢
Hivi hamna vitu vingine vya kufanya vya maana
Hii serikali inanifanya nijifikirie mara mbili tena nani nimpigie kura 2020.🤔
Go to hell mashetan nyie
Hao tcra m cjaona humuhim video za ajabu kila kukicha mambo kibao yanaendelea hajafikia hata robo ya udhibiti kwa mliyo yanzisha leo tena lingine
Bongo Bado
Nahs ukitaka kuwa na lain mbili za mtandao mmj ndo inabidi uombe kibali
Simu zenyewe zinatengenezwa za laini mbili, asa hilo tobo jingine tutaweka nini?