Technology

Infinix kuja na punguzo la bei na zawadi za papo hapo kwa wateja wa Infinix NOTE 10

Kampuni ya simu za mkononi Infinix kupitia ukurasa wake wa Instagram @infinixmobiletz
yatangaza ofa kabambe kwa wateja kumi wa kwanza kununua Infinix NOTE 10 siku ya Jumamosi
(17/7/2021) kupata punguzo la sh. 40,000 na zawadi ya blenda, jagi la kuchemshia maji,
wireless earphone au music system papo hapo katika duka la Infinix Smart Hub China plaza
Kariakoo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents