Michezo
CEO wa Simba Barbara Gonzalez: Hakuna kisichowezekana
Kupitia ukurasa wake wa Twitter CEO wa Simba Barbara Gonzalez ameandika kuwa:
“Ee Mwenyezi Mungu: tunakuomba utufanyie wepesi leo katika mchezo wetu. Uwape wepesi wachezaji wetu wote wapambane tupate ushindi wa magoli matano na kuendelea In shaa Allah. Tunakuomba Mwenyezi Mungu utujalie tufuzu. Hakuna kisichowezekana. Ameen “