Exclusive: Press Conference ya MTV MAMA, Durban, Mafikizolo watangaza kumshirikisha Diamond (Picha)
Diamond Platnumz, Trey Songz, Miguel Mafikizolo, Donald na wasanii wengine, Ijumaa hii waliungana na timu ya MTV Base kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jijini Durban, Afrika Kusini.
Katika mkutano huo, wasanii hao walizungumza masuala mbalimbali kuhusiana na nia ya wao kuungana pamoja na kushirikiana ili kuupeleka muziki wa Afrika mbele zaidi. Katika mkutano huo ambao Bongo5 ilihudhuria jijini humo, Mafikizolo walithibitisha kuzungumza na Diamond kuhusu kufanya kazi pamoja. Hizi ni picha za tukio hilo.
Trey Songz
Trey Songz akiwa na Alex Okosi
Trey Songz akiingia
Tiwa Savage akihojiwa na mwandishi wa SABC
Rapper wa Ghana, Sarkodie
Picha ya pamoja ya Diamond, Mafikizolo na Donald
Oskido
Mwandishi wa habari akiuliza swali
Mtangazaji wa MTV Base, Sizwe
Mtangazaji wa MTV Base, Nomuzi Mabena akiuliza swali
Mtangazaji wa East Africa Radio, Sam Misago
Mtangazaji wa Clouds TV, Shadee akiwa na Donald
Mmoja wa waandishi wa habari akiuliza swali
Miguel akiingia kwenye press conference
Makamu mkuu wa Rais wa MTV Africa Alex Okosi, kushoto akiongea na waandishi wa habari
Flavour akihojiwa
Batu Tale, Diamond na Salam