Siasa
Halima mdee: Mimi ni CHADEMA na ntaendelea kuwa mwana CHADEMA
Akiongea na wana habari baada ya kujulikana hatma yao Halima mdee alisema kuwa “Mimi ni CHADEMA, na ninaendelea kuwa mwana @ChademaTz vizuri tu.
Ila kilichofanyika kwenye Baraza Kuu ni Uhuni, nao wanajua hata @freemanmbowetz pia anajua” kauli ya @halimamdee baada ya Baraza Kuu la Chadema kupitisha uamuzi wa kuwafukuza chama.