BurudaniUncategorized
Harry Kane amvisha pete ya uchumba mzazi mwenzie
![](https://bongo5.com/wp-content/uploads/2017/07/pri_45226852.jpg)
Mshambuliaji wa Klabu ya Tottenham Hotspur, Harry Kane amemvisha pete ya uchumba mrembo wake Kate Goodland tayari kwa maandalizi ya kufunga ndoa siku za usoni .
![Yummy mummy: Kate showcased her trim post baby body in skinny jeans and a white t-shirt emblazoned with a floral crown](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2017/05/15/09/4052997500000578-4506470-image-m-33_1494835531743.jpg)
Kane kupitia ukurasa wake wa Twitter amethibitisha hilo kwa kuweka picha ya kimwana huyo na kuandika “Kweli amekubali”.
She said YES! 😘❤️💍🏖 pic.twitter.com/6IfmK7DFK4
— Harry Kane (@HKane) July 1, 2017
Kane amemvisha mrembo huyo pete ya uchumba akiwa mapumzikoni kwenye visiwa vya Bahamas.
Mrembo Kate Goodland na Harry Kane tayari wamezaa mtoto mmoja na wanatarajia kufunga ndoa mwaka huu.