Habari

Mafuriko yatikisa tena Jangwani, barabara yafungwa (Video)

Jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani limelazimika kuzuia kwa muda matumizi ya barabara ya Morogoro katika eneo la Jangwani jijini Dar es Salaam baada ya Daraja hilo kujaa maji na kusababisha maji hayo kupita juu ya daraja. Staff Sajenti Muhidini Kutoka Makao Makuu Traffic amethibitisha.

https://www.instagram.com/p/B967KRBBl-I/

https://www.instagram.com/p/B964joVnmOE/

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents