Michezo

Man Utd yaweka rekodi mpya

Man utd sasa wameitupa nje Liverpool mara 11 kwenye Kombe la FA, zaidi ya mpinzani mwingine yoyote kwenye michuano hiyo. Man utd bado haijapoteza mchezo wowote wa nyumbani wa FA dhidi ya Liverpool kwa zaidi ya miaka 100. Man Utd itakutana Coventry nusu fainali Wembley Studium.

Image

Imeandikwa na Mbanga B.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents