Mbosso akabidhiwa hati ya nyumba, asema anawahamishia wazazi wake
Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Mbosso amefunguka kuzungumzia nyumba ambazo walijengewa na Mkubwa Fella wakati yupo Yamoto Band. Nyumba hizo ni nne za wasanii wote ambao walikuwa Yamoto Band zipo Mbande Kisewe, Chamazi jijini Dar es salaam.
Akiongea katika kipindi cha The Playlist ya Times FM, Mbosso amesema nyumba yake kwa sasa ipo tayari na ameshakabidhiwa kila kitu kwaajili ya kuanza kuitumia kama nyumba yake.
“Nyumba ipo na Mkubwa ameshanikabidhi kila kitu na mwezi wa tisa nitawapeleka wazazi wangu wakakae huko mimi nibaki hapa mjini,” alisema Mbosso.
Muimbaji huyo mwenye nyimbo 6 toka ajiunge WCB, amesema kwa sasa maisha yake yamebadilika kwa kiasi kikubwa tofauti na awali.
Wiki iliyopita Mbosso pamoja na Lavalava walikabidhiwa magari na bosi wao Diamond Platnumz.
Uyu mwak na mim nitafany juu chini mpak ni sajiliw wcb sitak jibu wala comment mim bisho Akili zangu nazijuw mwenyew nafasi ya mavoko niyang
Hizi nyumba c ndo zile zilijengwa kwa ajili ya yamoto band!!!
Safi
sijui niimbe
Khaaa mbosso utakuja kujua kwanini rich mavoko aliondoka hapo hiyo mijengo ya moto band daah pole sana utakuja kuniambia tu….
Mbosso apewa nyumba yake ya zamani wakati yupo yamoto band…..
Ndio maana mavoko kama KACHANGANYIKIWA maana kaondoka kwenye Neema sijui kaenda jalala gani huko
πππbongo5 wAnatuona sisi n wakusubr habar zao ππππ wkat tunajua kila kitu
Hizo ni toka ya moto bendi siyo wcb
Hiyo toka ya moto bend
Pw
Hawa bongo 5 wasenge. Habari ndo hizo sikuizi tuana wa unlike
Hizo ni za ya moto band walihaidiwa mda . shida ilikuwa kukamilika 2
Hizo nyumba za zaman na wamejengew kama kota na mkubwa fera , acheni uongo
Hii Hbr ya kukabihdiwa hati szan Kama ya kweli izi nyumba alizijenga fela kwa ajili ya yamoto bendi hila aslay mboso enock na beka walizikataa kwakua fela alikataa kuwapa hati
nyumba ya enok Bella ipo apo au ndo tunapindua meza kibabe?
Mavoko alizaliwa Nazi hizo NYUMBA atajenga yakwake
Hiyo Yamoto kaka
Mnamrudisha yamoto tena…. Zile jengo za yamoto… Mbosso usilolijua usiku WA Giza ndio maana mavoko kajitosa pale…. Chunga langi ya tunda isikupendeze ukapata ndani ni mbovu… Majuto ni mjukuu….
IPO YAKO NA #stivu_nyenyere
Mavoko anatokea wapi mbn mnachanganya hbr
Hahahahhh mwanang unanisakam kam nimemteka chura wako
Nani alimwanzag mwenzie,,,,
Kwaiy bado unalo rohon mim mpak nixhasahau kwamb kuna habar za stivu
Ilo nafahamu unanifundish nin unafikili mkubwa fella ilimup juu yakuw yamoto band? Alimup juu ya wcb sijuw unaelew apo musiw munakimbilia kujibu someni kwanz muelew
AfyanjemaTz Tumeanzisha Group La Whatsapp Kwa Lengo La Kushauliana Hususani Ktk Maswala Ya Kiafya,Namna Ya Kuwa Na Afya Njema,Tukihusisha Afya Ya Kuvurugika Kwa Mmeng’enyo Wachakula Kama Sababu Na Chanzo Cha Magonjwa Mengi Yasiyokuwa Ya Kuambukizika..
Tukianza na swala la ulaji mbaya,Matokeo yake Ikiwa Nikuharibika kwa mifumo mingine ya mwili,Mfano;
Mfumo Wa Mzunguko Wa Damu
Mfumo Wa Homoni
Mfumo Wa Upumuaji
Mfumo Wa Ufahamu,Na Matatizo Yote Ya Saratani Na Viungo(joints),Uzito Uliyopitiliza,Magonjwa Ya Zinaa n.k..
Hili Group Nikuajili Ya kushauliana Tu,Washiriki Umri Kuanzia Miaka 25++,Hatutaruhusu Lugha Chafu,Matangazo Ya Aina Yeyote,Video,Video Links au Post Yeyote Ile Isiyohusiana Na Afya Na Namna Ya Kuishi Kiafya…
Tutashauliana Kula Chakula Bora,Kunywa Maji Ya Kutosha Na Kufanya Mazoezi kwa kufuata aina ya kundi lako la damu…
Pia Tutakushauli Kutumia Virutubisho kama chakula mbadala ambavyo Nibora Zaidi Ili Kuimalisha Afya Yako..
Ikumbukwe AfyanjemaTz Hatufanyi Kazi za Madaktari,Sisi Ni Washauli Wa Afya, Ila Tutashauliana na Wewe Na Kukutaka ukawaone Madaktari Pale Inapohitajika Utatuzi/Msaada Wa Kitabibu Zaidi..
Tunaamin Umesoma Na Umeelewa Vyema Lengo La Group..
Vilevile Unaweza Ukatusaidia Kushare Zaidi Ktk Group Zenye Mantiki Na Haiba Kama Yetu…..
Kujiunga Na Group La AfyanjemaTz, Fungua Link HapoππΏππΏ
https://chat.whatsapp.com/7R2QGhIE5TxHCQ7itSsTBR
yeah ndo izo ira kilamtu kapewa ya kwake
DRAMAtic bongo
Ahaaa Bahati yake…..
Izo nyumba za zamani kipindi wakiwa yamoto band fatilia utsjua ukweli kila mmoja anayake apo zko nne
Hv kuna kinaitwa hati ya nyumba? Sounds new 2 me
Seleman Chibu Ininahazwe kwahyo unataka kusema zmejengwa na wcb au
Link kwangu inazingua* niunge bhac kawaida 0683874844
mbona hizi nyumba ni zile walizokabidhiwa wakiwa yamoto band?
Kkkk
Kla mmoja alikuwa na nyumba yko…so kila mmoja anapewa hati ya nyumba yake,,sasa jengo za ya moto kivip?kwa hiyo achunge ulitaka akipewa hati ya nyumba yake akatae au?
Kla mmoja alikuwa na nyumba yko…so kila mmoja anapewa hati ya nyumba yake,,sasa jengo za ya moto kivip?kwa hiyo achunge ulitaka akipewa hati ya nyumba yake akatae au?
Ni sawa saw na wcb kwasabub alie MPa zawadi hiyo ni maneger wa wcb hakuyipata juu ya lundi lile la yamoto band ili tumaliz ubish harak kwa nin hakukabidhia enock bella ao aslay ima beka kwa sababu hawan ten relation ship na mkubw fella
Josephina Nakuanga mkono…. Mavoko ana uwezo WA kukifanya Kila kitu.. Pale Hamna jambo kubwa Kwake aiseee…
Kweli hawa jamaa ni matapeli wakubwa mwanamziki mjinga mjinga ndio awezi jua utapeli wao hizi ni zile nyumba mkubwa fella alisema anawajengea nyumbaa mtaa mmoja sasa leo amekuja kupewa mbosso Fanya kazi kuna siku ukiteleza tu utatolewa kama kuku