Mshindi wa tuzo ya meneja bora wa muziki Afrika kupitia tuzo za Zikomo @mkubwafellatmk amefunguka kwa kueleza sababu ya kwanini hakuna wasanii wakubwa kumzidi @diamondplatnumz mpaka sasa.
Fella amedai siri ya mafanikio ni uwekezaji mkubwa ambao wamekuwa wakiufanya kwenye muziki na kudai hakuna msanii anaweza kufanya hivyo.